1 |
Naapa kwa tini na zaituni! |
/content/ayah/audio/hudhaify/095001.mp3
|
وَالتِّينِ وَالزَّيْتُونِ |
2 |
Na kwa Mlima wa Sinai! |
/content/ayah/audio/hudhaify/095002.mp3
|
وَطُورِ سِينِينَ |
3 |
Na kwa mji huu wenye amani! |
/content/ayah/audio/hudhaify/095003.mp3
|
وَهَذَا الْبَلَدِ الْأَمِينِ |
4 |
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa. |
/content/ayah/audio/hudhaify/095004.mp3
|
لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ فِي أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ |
5 |
Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini! |
/content/ayah/audio/hudhaify/095005.mp3
|
ثُمَّ رَدَدْنَاهُ أَسْفَلَ سَافِلِينَ |
6 |
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha. |
/content/ayah/audio/hudhaify/095006.mp3
|
إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ |
7 |
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo? |
/content/ayah/audio/hudhaify/095007.mp3
|
فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِالدِّينِ |
8 |
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote? |
/content/ayah/audio/hudhaify/095008.mp3
|
أَلَيْسَ اللَّهُ بِأَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ |