1 |
Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku! |
/content/ayah/audio/hudhaify/086001.mp3
|
وَالسَّمَاء وَالطَّارِقِ |
2 |
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku? |
/content/ayah/audio/hudhaify/086002.mp3
|
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الطَّارِقُ |
3 |
Ni Nyota yenye mwanga mkali. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086003.mp3
|
النَّجْمُ الثَّاقِبُ |
4 |
Hapana nafsi ila inayo mwangalizi. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086004.mp3
|
إِن كُلُّ نَفْسٍ لَّمَّا عَلَيْهَا حَافِظٌ |
5 |
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani? |
/content/ayah/audio/hudhaify/086005.mp3
|
فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ مِمَّ خُلِقَ |
6 |
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa, |
/content/ayah/audio/hudhaify/086006.mp3
|
خُلِقَ مِن مَّاء دَافِقٍ |
7 |
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086007.mp3
|
يَخْرُجُ مِن بَيْنِ الصُّلْبِ وَالتَّرَائِبِ |
8 |
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086008.mp3
|
إِنَّهُ عَلَى رَجْعِهِ لَقَادِرٌ |
9 |
Siku zitakapo dhihirishwa siri. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086009.mp3
|
يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ |
10 |
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086010.mp3
|
فَمَا لَهُ مِن قُوَّةٍ وَلَا نَاصِرٍ |
11 |
Naapa kwa mbingu yenye marejeo! |
/content/ayah/audio/hudhaify/086011.mp3
|
وَالسَّمَاء ذَاتِ الرَّجْعِ |
12 |
Na kwa ardhi inayo pasuka! |
/content/ayah/audio/hudhaify/086012.mp3
|
وَالْأَرْضِ ذَاتِ الصَّدْعِ |
13 |
Hakika hii ni kauli ya kupambanua. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086013.mp3
|
إِنَّهُ لَقَوْلٌ فَصْلٌ |
14 |
Wala si mzaha. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086014.mp3
|
وَمَا هُوَ بِالْهَزْلِ |
15 |
Hakika wao wanapanga mpango. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086015.mp3
|
إِنَّهُمْ يَكِيدُونَ كَيْدًا |
16 |
Na Mimi napanga mpango. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086016.mp3
|
وَأَكِيدُ كَيْدًا |
17 |
Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole. |
/content/ayah/audio/hudhaify/086017.mp3
|
فَمَهِّلِ الْكَافِرِينَ أَمْهِلْهُمْ رُوَيْدًا |